Habari
NAIBU KATIBU MKUU,OFISI YA RAIS-UTUMISHI BW. XAVIER DAUDI AKUTANA NA VIONGOZI WA JICA KWA MAZUNGUMZO
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais UTUMISHI na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi akutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) Ofisini kwake Mtumba Jijini Dodoma. Viongozi hao wamemtambulisha Mwakilishi Mkuu Mpya Bw.Kuge Katsuya baada ya Bw.Ara Hitoshi kumaliza muda wake.
