Habari
MWONGOZO WA KUDHIBITI VVU, UKIMWI NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA WAHUISHWA KULINDA AFYA ZA WATUMISHI ILI WAWE NA TIJA KATIKA TAIFA

Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Mwanaamani Mtoo akiwasilisha mada kuhusu Umuhimu wa Ujumuishwaji wa Anuai za Jamii mahali pa kazi wakati wa kikao kazi cha kujadili Mwongozo wa Kudhibiti VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza kilichofanyika jijini Dodoma.