Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MWONGOZO WA KUDHIBITI VVU, UKIMWI NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA WAHUISHWA KULINDA AFYA ZA WATUMISHI ILI WAWE NA TIJA KATIKA TAIFA


Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Uchambuzi Sera, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Charles Kato   akitoa neno la utangulizi kabla ya Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Agness Meena kufungua kikao kazi cha kujadili Mwongozo wa Kudhibiti VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza mahali pa kazi kilichofanyika jijini Dodoma.