Habari
MTANDAO WA WABUNGE WA KUPAMBANA NA RUSHWA AFRIKA TAWI LA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA TAKUKURU KUITOKOMEZA RUSHWA NCHINI

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mtandao huo, mara baada ya kupata semina kuhusu elimu ya mapambano dhidi ya rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU jijini Dodoma.