Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MTANDAO WA WABUNGE WA KUPAMBANA NA RUSHWA AFRIKA TAWI LA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA TAKUKURU KUITOKOMEZA RUSHWA NCHINI


Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna wa Polisi Salum Hamduni akieleza lengo la TAKUKURU kuandaa semina kwa wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) iliyofanyika jijini Dodoma.