Habari
MTANDAO WA WABUNGE WA KUPAMBANA NA RUSHWA AFRIKA TAWI LA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA TAKUKURU KUITOKOMEZA RUSHWA NCHINI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua semina kuhusu elimu ya mapambano dhidi ya rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU kwa lengo kuwajengea uwezo wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) ili waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu na kushirikiana na TAKUKURU katika mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa nchini.