Habari
MTANDAO WA WABUNGE WA KUPAMBANA NA RUSHWA AFRIKA TAWI LA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA TAKUKURU KUITOKOMEZA RUSHWA NCHINI

Wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) na baadhi ya watendaji wa TAKUKURU wakifuatilia mada ya wajibu wa wabunge wanachama wa APNAC Tanzania katika mapambano dhidi ya rushwa nchini iliyoandaliwa na TAKUKURU.