Habari
MICHEZO YA SHIMIWI INAJENGA AFYA ZA WATUMISHI WA UMMA ILI WAWEZE KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO NA KUWA NA TIJA KIUTENDAJI – Mhe. JENISTA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na washiriki wa Michezo ya Idara na Wizara za Serikali (SHIMIWI) wakati akifungua rasmi Sherehe za Michezo hiyo kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.