Habari
MHE.SIMBACHAWENE ATAKA NGUVU ZA WANANCHI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI

Wananchi wa Kijiji cha Kidenge wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene alipokuwa akizungumza nao wakati ziara yake ya kikazi katika Kata ya Luhundwa Wilayani Mpwapwa, Mkoani Dodoma, Jimbo la Kibakwe, Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma uliolenga kuwahamasisha wananchi katika kuibua miradi ya kimkakati katika maeneo yao ili Serikali iweze kusaidia katika ukamilishaji wa miradi hiyo na kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.