Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. SIMBACHAWENE ARIDHISHWA NA THAMANI YA FEDHA ILIYOTUMIKA KATIKA MRADI WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MWANANGWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI


Mwonekano wa Shule ya wasichana Mwanangwa iliyojengwa kwa ufadhili wa TASAF katika Kijiji cha Mwanangwa, halmashauri ya Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza.