Habari
MHE. SIMBACHAWENE AMFARIJI WAZIRI MKUU MSTAAFU, MHE. JOHN MALECELA KUFUATIA KIFO CHA MTOTO WAKE, BW. WILLIAM MALECELA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (Mwenye suti ya kijivu) akimsikiliza Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Malecela (Wa kwanza kulia) alipoenda kumfariji nyumbani kwake Kilimani jijini Dodoma kufuatia kifo cha mtoto wake, Bw. William Malecela. Katikati ni Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai.