Habari
MHE. SIMBACHAWENE AMFARIJI WAZIRI MKUU MSTAAFU, MHE. JOHN MALECELA KUFUATIA KIFO CHA MTOTO WAKE, BW. WILLIAM MALECELA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (Mwenye suti ya kijivu) akiwa kwenye msiba wa mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Malecela. Kushoto kwake ni Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai. Wengine ni viongozi wa ofisi yake pamoja na waombolezaji.