Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. SIMBACHAWENE AMFARIJI WAZIRI MKUU MSTAAFU, MHE. JOHN MALECELA KUFUATIA KIFO CHA MTOTO WAKE, BW. WILLIAM MALECELA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Malecela, Mtaa wa Kilimani jijini Dodoma kufuatia kifo cha mtoto wa Mhe. Malecela, Bw. William Malecelea kilichotokea tarehe 14 Mei, 2013.