Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA OFISI YAKE PAMOJA NA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE ILI KUJIPANGA KIUTENDAJI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa ofisi yake mara baada ya kikao kazi chake na watendaji wa ofisi hiyo pamoja na taasisi zilizo chini ya ofisi yake kilichofanyika leo jijini Dodoma. Wa pili kutoka kulia waliokaa ni Naibu Waziri wake, Mhe. Ridhiwani Kikwete, wa pili kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi, wa kwanza kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala bora, Bw. Xavier na wa kwa kwanza kutoka kulia ni Kamishna wa Maadili, Mhe. Jaji Mstaafu Sivangilwa Mwangesi.