Habari
MHE. SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA OFISI YAKE PAMOJA NA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE ILI KUJIPANGA KIUTENDAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa na Naibu Waziri wake, Mhe. Ridhiwani Kikwete wakijadiliana jambo na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala bora, Bw. Xavier Daudi mara baada ya kumalizika kikao kazi cha Mhe. Simbachawene na watendaji wa ofisi yake pamoja na taasisi zilizo chini ya ofisi yake kilichofanyika leo jijini Dodoma.