Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma mara baada ya kuhitimisha kikao kazi chake na Makamishna hao kilichofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji. Wa pili kushoto waliokaa ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Mhe. Jaji (Mst.) Hamisa Kalombola na wa pili kulia waliokaa ni Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Mathew Kirama.