Habari
MHE. SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akikaribishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Mhe. Jaji (Mst.) Hamisa Kalombola kushiriki kikao kazi kilicholenga kuhimiza uwajibikaji.