Habari
MHE. SIMBACHAWENE AFANYA KIKAO KAZI NA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza mmoja wa Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma (hayupo pichani) wakati akitoa neno la shukrani kwa Waziri huyo kwenye kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa Makamishna hao. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Mhe. Jaji (Mst.) Hamisa Kalombola