Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. SIMBACHAWENE ADHAMIRIA KUSIMAMIA WATUMISHI WA UMMA KUTUMIA VEMA SAA ZA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika mazungumzo na menejimenti ya ofisi yake alipowasili ofisini kwake Mtumba Jijini Dodoma, mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 02 Aprili, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini.