Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. SIMBACHAWENE ADHAMIRIA KUSIMAMIA WATUMISHI WA UMMA KUTUMIA VEMA SAA ZA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akipokea zawadi ya ua kutoka kwa mtumishi Bi. Gladnessy Mwandry alipowasili Ofisi ya Rais-UTUMISHI kuanza kazi, mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 02 Aprili, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuwa Waziri mwenye dhamana ya kusimamia Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini.