Habari
MHE. SIMBACHAWENE ADHAMIRIA KUSIMAMIA WATUMISHI WA UMMA KUTUMIA VEMA SAA ZA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Sehemu ya watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene mara baada ya Waziri huyo kuwasili ofisini kwake kwa ajili ya kuanza kazi rasmi baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 02 Aprili, 2023 Ikulu Jijini Dar es Salaam kuwa waziri mwenye dhamana ya kusimamia Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini.