Habari
MHE. RIDHIWANI KIKWETE AKUTANA NA IDARA YA USIMAMIZI WA MAADILI IKIWA NI MWENDELEZO WA VIKAO KAZI VYAKE VYA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA OFISI YAKE

Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Ukuzaji wa Maadili, Bw. Ally Ngowo akiwasilisha taarifa kwa Naibu waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ya utekelezaji wa majukumu ya sehemu anayoisimamia (hayupo pichani) wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Idara ya Usimamizi wa Maadili kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma kwa lengo la kufahamu majukumu ya Idara hiyo na kuhimiza uwajibikaji.