Habari
MHE. RIDHIWANI KIKWETE AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA IDARA YA UENDELEZAJI RASILIMALIWATU

Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu, Dkt. Edith Rwiza akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Idara yake kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Idara hiyo, kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma.