Habari
MHE. RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAZUNGUMZO NA IDARA YA TEHAMA SERIKALINI IKIWA NI MWENDELEZO WA VIKAO KAZI VYAKE VYA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA OFISI YAKE

Mkurugenzi Msaidizi anayesimamia Sehemu ya Viwango na Sera, Bw. Mohamed Mashaka akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya sehemu anayoisimamia kwa Naibu waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Idara ya TEHAMA Serikalini kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma.