Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAZUNGUMZO NA IDARA YA TEHAMA SERIKALINI IKIWA NI MWENDELEZO WA VIKAO KAZI VYAKE VYA KUHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA OFISI YAKE


Afisa TEHAMA Mkuu, Bw. Faraja Komba akimpitisha Naibu waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) kutazama mifumo mbalimbali ya TEHAMA ambayo imetengenezwa na Idara hiyo wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Idara ya TEHAMA Serikalini kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma.