Habari
MHE. RIDHIWANI AELEKEZA BARUA ZA MASUALA YA KIUTUMISHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUEPUKA MALALAMIKO YASIYO YA LAZIMA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na watumishi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi chake na watumishi wa idara hiyo kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma kwa lengo la kufahamu majukumu ya Idara hiyo na kuhimiza uwajibikaji.