Habari
MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 10 WA CHAMA CHA KITAALUMA CHA MENEJIMENTI YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia zawadi aliyokabidhiwa na Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) ya kutambua mchango anaoutoa katika taaluma ya utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka mara baada ya kufungua mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) jijini Arusha.