Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 10 WA CHAMA CHA KITAALUMA CHA MENEJIMENTI YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Lauren Ndumbaro (wa kwanza kushoto mstari wa mbele) akimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akifungua mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) jijini Arusha. Wengine ni Katibu Mkuu-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, Mwenyekiti wa Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Bw. Shaka Hamdu Shaka.