Habari
MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 10 WA CHAMA CHA KITAALUMA CHA MENEJIMENTI YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Sehemu ya washiriki wa mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) wakifurahia jambo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akifungua mkutano huo jijini Arusha.