Habari
MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 10 WA CHAMA CHA KITAALUMA CHA MENEJIMENTI YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) jijini Arusha.