Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI KUSIMAMIA MIRADI INAYOTEKELEZWA KATIKA MAENEO YAO YA KAZI BILA KUSIMAMIWA NA VIONGOZI


Sehemu ya Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani), alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa Manispaa hiyo.