Habari
MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI KUSIMAMIA MIRADI INAYOTEKELEZWA KATIKA MAENEO YAO YA KAZI BILA KUSIMAMIWA NA VIONGOZI
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke na Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo (hawapo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa umma.