Habari
MHE NDEJEMBI AWATAKA WATENDAJI SERIKALINI KUWAHAMASISHA WANANACHI KUSHIRIKI KIKAMILIFU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA TASAF

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na wanafunzi na wananchi wa Kijiji cha Kiloleli wilayani Maswa, wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua mradi wa ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya Sekondari Budekwa unaotekelezwa na TASAF.