Habari
MHE. NDEJEMBI AWAHIMIZA VIONGOZI NA WATENDAJI MIKOANI KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBUNI MBINU MBALIMBALI ZITAKAZOWAWEZESHA WALENGWA WA TASAF KUJIINUA KIUCHUMI

Baadhi ya wananchi na walengwa wa TASAF wa Halmashauri ya Mji Makambako wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri hiyo mkoani Njombe.