Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. NDEJEMBI AWAHIMIZA VIONGOZI NA WATENDAJI MIKOANI KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBUNI MBINU MBALIMBALI ZITAKAZOWAWEZESHA WALENGWA WA TASAF KUJIINUA KIUCHUMI


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na wananchi na walengwa wa TASAF wa Halmashauri ya Mji Makambako wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri hiyo mkoani Njombe.