Habari
MHE. NDEJEMBI AKEMEA TABIA YA WIZI KWA WATUMISHI INAYOKINZANA NA DHAMIRA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN YA KUJENGA UADILIFU

Mtumishi wa Halmashauri ya Jiji la Ilala, Bi. Subira Mwakibete akiwasilisha hoja kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani), wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa Halmashauri hiyo ya Jiji.