Habari
MHE. NDEJEMBI AIELEKEZA TASAF KUJENGA UZIO SHULE YA SEKONDARI YA OLDONYOWAS ILI KULINDA MIUNDOMBINU YA SERIKALI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akisisitiza ujenzi wa uzio katika Shule ya Sekondari Oldonyowas wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Arusha.