Habari
MHE. NDEJEMBI AIELEKEZA e-GA KUZICHUKULIA HATUA TAASISI ZINAZOKIUKA SHERIA YA SERIKALI MTANDAO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (wa kwanza kulia) akiteta na watendaji wa ofisi yake kabla ya kufunga kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya TEHAMA Serikalini kilichofanyika jijini Dodoma.