Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. KIKWETE AELEKEZA VIBALI VYA MAOMBI YA WATUMISHI WANAOSTAHILI KUPANDA MADARAJA YAWASILISHWE OFISI YA RAIS – UTUMISHI ILI YAFANYIWE KAZI KWA HARAKA


Afisa Utumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Bw. George Mwalukasa akitoa neno la shukrani kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) mara baada ya Naibu Waziri huyo kuhitimisha kikao kazi chake na watumishi wa halmashauri hiyo kilicholenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.