Habari
MHE. KIKWETE AELEKEZA VIBALI VYA MAOMBI YA WATUMISHI WANAOSTAHILI KUPANDA MADARAJA YAWASILISHWE OFISI YA RAIS – UTUMISHI ILI YAFANYIWE KAZI KWA HARAKA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (katikati) akisikiliza hoja iliyokuwa ikiwasilishwa kwake na Mtumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo mkoa wa Pwani iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.