Habari
MHE. KIKWETE AELEKEZA VIBALI VYA MAOMBI YA WATUMISHI WANAOSTAHILI KUPANDA MADARAJA YAWASILISHWE OFISI YA RAIS – UTUMISHI ILI YAFANYIWE KAZI KWA HARAKA

Mbunge wa jimbo la Bagamoyo, Mhe. Muharami Mkenge akitoa salamu za wananchi na watumishi wa jimbo la Bagamoyo kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.