Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE.JENISTA NA MHE. KAIRUKI WAWEKA MKAKATI KUTEKELEZA MAELEKEZO YA MHE. RAIS YA KUIMARISHA MAADILI KATIKA UTUMISHI WA UMMA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiongoza kikao kazi leo jijini Dodoma kilichowakutanisha watendaji wa Ofisi yake na Ofisi ya Rais-TAMISEMI ili kuweka mkakati wa kutekeleza maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa hivi karibuni ya kuboresha maadili katika utumishi wa umma.