Habari
MHE. JENISTA AZIONYA TAASISI ZA SERIKALI ZINAZOKAIDI KUFANYA VIKAO VYA MABARAZA YA WAFANYAKAZI KWA MUJIBU WA SHERIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika Kikao cha Pili cha Baraza la Sita la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu kilichofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu na wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa.