Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA AZIONYA TAASISI ZA SERIKALI ZINAZOKAIDI KUFANYA VIKAO VYA MABARAZA YA WAFANYAKAZI KWA MUJIBU WA SHERIA


Sehemu ya wajumbe na wageni waalikwa wa Kikao cha Pili cha Baraza la Sita la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati akifungua kikao hicho kilichofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro.