Habari
MHE. JENISTA AWATAKA WATUMISHI WA OFISI YAKE KUTOA USHIRIKIANO WA KIUTENDAJI KWA VIONGOZI WAPYA ILI KUENDELEA KUUBORESHA UTUMISHI WA UMMA

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma aliyemaliza muda wake, Dkt. Laurean Ndumbaro (wa kwanza kulia) akitoa neno la shukurani kwa watumishi wa ofisi hiyo alipokuwa akiwaaga. Wengine ni viongozi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.