Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE JENISTA AWATAKA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA WATUMISHI NA WANANCHI KWA WAKATI KATIKA MAENEO YAO YA KAZI KAMA AMBAVYO SERIKALI IMEKUSUDIA


Wajumbe wa Mkutano wa Tatu wa Baraza Kuu la Nne la Wafanyakazi Tanzania Bara wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati akifungua mkutano wa baraza hilo mjini Morogoro.