Habari
MHE. JENISTA AWASISITIZA WATENDAJI WA OFISI YAKE KUWA NA KAULI NZURI NA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI NA WATUMISHI WANAOWAHUDUMIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya kufungua Mkutano Maalumu wa Baraza hilo uliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.