Habari
MHE. JENISTA ATOA WITO KWA WANANCHI KUSHIRIKIANA NA TAKUKURU KUZUIA VITENDO VYA RUSHWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

Sehemu ya walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Kijiji cha Ihayabuyaga, Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya TASAF wilayani humo.