Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA ATOA WITO KWA WAFANYABIASHARA MKOANI ARUSHA KUTUMIA KITUO JUMUISHI CHA URASIMISHAJI NA UENDELEZAJI WA BIASHARA ILI KUKUZA BIASHARA ZAO NA KUONGEZA PATO LA TAIFA


Baadhi ya wajasiriamali wanaopata huduma katika kituo Jumuishi cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara kilichopo katika Kata ya Kati, Mtaa wa Pangani Halmashauri ya Jiji la Arusha wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama alipokuwa akizungumza nao mara baada ya Waziri huyo kuzindua rasmi kituo Jumuishi cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara mkoani Arusha.