Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA ASISITIZA UTEKELEZAJI MKAKATI WA KUSHUGHULIKIA RUFAA ZA WATUMISHI NA WA KUZUIA ONGEZEKO LA MASHAURI YA KINIDHAMU


Naibu Katibu, Idara ya Rufaa na Malalamiko, Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. John Mbisso (aliyesimama) akitoa neno la shukrani mara baada ya   Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kuhitimisha kikao kazi chake na menejimenti ya tume hiyo kilichofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji.